Tarehe 09 April 2025 Mwenyekiti wa Tacha Col Thomas Ndonde rtd na Makamu mwenyekiti walikutana na Mwenyekiti wa board TFS Major General Dr Mbaraka N Mkeremi NDC na Conservation Commissioner Prof Dos Santos Silayo TFS, mjini Morogoro.Lengo kuu ilikuwa ni kujitambulisha na kuona namna gani Misitu ya TFS, inaweza kutumika kwa kufuga wanyama pori. (Picha) Kutoka kushoto Prof Dos Santos Silayo, Mr Raymond Shauri,Maj Gen MN Mkeremi, Col TJ Ndonde rtd.
Mvua zilizoanza kunyesha zimeharibu daraja
UJUMBE WA VIONGOZI WA TACHA WALITEMBELEA MASHAMBA YA WANYAMA PORI NCHINI AFRIKA YA KUSINI KWA MWALIKO WA WRSA KUANZIA TAREHE 04 MAR 2024 HADI TAREHE 10 MAR 2024 NA BAADAE ZIARA BINAFSI NA KUREJEA NCHII TAREHE 19 MAR 2024
TACHA kupitia serikali ya kijiji ilipatiwa ombi la msaada wa kisima cha maji safi, kwa msaada wa patron wa chama, kilichimbwa kisima chenye gharama ya Tshs 36,000,000/= kwa ajilii ya kuwapatia maji safi wana kijiji cha Mtepera.
Maombi yanatakiwa kutumwa kwa Kamanda wa Uhifadhi Kanda ya Kusini Mashariki
TAWA ILITANGAZA VITALU KWA AJILI YA MNADA ULIOFUNGULIWA TAREHE 16 AUGUST 2021 HADI TAREHE 22 AUG 21.
kupitia chama wanachama waliotaka walifungua kampuni TACHACO na waliingia katika mchakato wa mnada kwa mapori yafuatayo:
1. Kisarawe
2. Kilwa
3.Talamai
4.Simbangulu/igwemadete
5.Ipemba Mpazi
6. Matundu Forest Reserve
as the picture shows the task force bid
kampuni tanzu ya TACHA iliyoanzishwa na wanachama wenye nia ya kuanzisha kampuni ya uwindaji TACHACO HUNTING SAFARI GROUP LTD kwa kuitikia wito wa TAWA kuboresha uwindaji wa wenyeji na wageni wakazi nchini. Walifanya kikao makao makuu ya TACHA Regency Hotel tarehe 04 AUGUST 2021. Waliohudhuria Victor Gogadi, Mashaka Job, Mh Mndolwa, David Mataka, Francis, Col Ndonde rtd, Urassa pamoja na Raymond Shauri(hayupo pichani).
Kwa niaba ya wanachama wa Chama cha Uwindaji wa Wenyeji na Uhifadhi TACHA (Tanzania Conservation and Local Hunters Association), tunapenda kutoa salaamu zetu za rambrambi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chama Tawala cha CCM na Serikali yake pamoja na wa Tanzania wote kwa msiba huu mzito wa kuondokewa na Rais wetu mpendwa Dr John Pombe Joseph Magufuli.
Ni PH wanaoweza kukupa ushauri katika uwindaji jiunge TACHA ili upate ushauri wa kitaalamu.
Stay tuned tumetuma members kwenda Kiteto ili watoe changamoto za uwindaji wenyeji katika upande huo.